top of page


Lugha na Mawasiliano
kumwezesha mtoto kujenga umahiri wa kuwasiliana katika miktadha mbalimbali
Eneo hili la ujifunzaji linamwezesha mtoto kujenga umahiri wa kuwasiliana katika miktadha mbalimbali kwa lugha ya Kiswahili au Kiingereza. Eneo hili pia humwezesha mtoto kuchangamana na wenzake, kusikiliza, kuzungumza na kupata stadi za awali za kusoma na kuandika.
Kusikiliza katika miktadha mbalimbali
Kuzungumza katika miktadha mbalimbali
Kusoma katika hatua za awali
Kuandika katika hatua za awali
Kuwasiliana katika miktadha mbalimbali
KITABU
MASOMO KATIKA PICHA & VIDEO

bottom of page